Tuesday, March 17, 2020

CORONA yasabavisha shule kufungwa

Shule zafungwa kuanzia Leo tarehe 17/03/2020 kwa muda wa mwezi mmoja kufuatia COVID 19 ambapo jana waziri wa afya alithibitisha kupatikana kwa mgonjwa mwenyekiti corona

Monday, March 16, 2020

FINAL

Huruhusiwi kunakili Wala kufoward hadithi hii bila idhini. FINAL SEHEMU YA KWANZA [01] 0757207494 MWANDISHI:AUXIBIUS JOVENARY

Ni majira ya saa saba mchana tulipo wasili uwanja wa ndege wa JK Nyerere tukitokea Nigeria mimi pamoja na rafiki yangu au mfanyakazi mwenzangu niliye mzidi kiumri japo sio sana na hata kazini nilikuwa boss wake japo wote tuliajiriwa.Gari nyeusi aina ya range rover ilikuja na kutuchukua kwani lilikuwa ni agizo toka kwa boss wetu kuwa tunge pokelewa na kweli tulipokelewa kwani Nigeria tulienda kikazi.Tulisalimiana na dereva kisha tukapanda ndani ya gari tiyari kwa kuelekea ofisini ambapo tulipaswa kuonana na boss kwa ajili ya kumkabidhi nyaraka za ofisi. Dereva aliyejulikaana Kwa jina Paschal aliwasha gari ssafari ikaanza huku mimi na Robert tukikaa siti za nyuma tukipiga story mbili tatu. Kaka John Kaka John dereva aliniita mfululizo name nikaitika ndio nambie; nahisi tunafatiliwa nini? Niliuliza kana kwamba sijasikia alichokiongea Paschal lakini alirudia kuniambia kuwa tunafatiliwa na kweli nilivogeuka nyuma kutizama niliona gari aina ya V8 ikija kwa kasi upande wetu kutokana dereva alionekana kuwa muoga nilimuomba niendeshe garri mwenyewe na kweli hakuwa mbishi nikashika uskani mwenyewe nikachochea moto mpaka mshale wa speed ukaanza kusoma 200 kwa wakati ule hakuna aliyemsemesha mwenzake kwani hali ilishakuwa mbaya niliendelea kukimbiza gari sikujali kuhusu zebra wala taa za barabarani kwani nnilishaona hatari mbele yangu nilifika sehemu nikakata kona kushoto nikakunja kulia kisha nikapaki gari kama tulikuwepo muda mrefu na waliokuwa wakitufatilia nao wakapitiliza nasi tukawa tumepata upenyo na hatukuendelea mbele hivyo nikaamua kurudi tullipo toka na wazo la kwenda nyumbani kwangu lilinijia nikawambia tunalekea sinza nyumbani kwangu make sasa hivi hali siyo nzuri na kweli walikubali kwani hali waliiona na hivyo safari ya kuelekea sinza ilianza hatukutumia muda mrefu tulifika kwangu nikawwakaribisha ndani lakini niliingiwa na hofu baada ya kutoiona familia yangu lakini sikuwa na mashaka sana nilijua watakuwa wametoka tu make nilikuja bila taarifa yoyote. Nilimuuliza Paschal anatumia kinywaji gani alisema maji tu ya baridi yanatosha kisha nikamuuliza Robert hata yeye alitaka maji tu niliwaletea kisha nikawaomba tuelekee chumba cha kompyuta ili tuangalie ni nani aliyetufatilia kwani tuliweza kukariri namba za gari lililotufatilia kutokana nilikuwa mjuzi sana wa maswala ya kompyuta haikuwa ngumu kwani nilikuwa na kompyuta kumi zenye uwezo wa hali ya juu na kweli niliziandika zile no za gari na maelezo yakaletwa lakini kabla sijaanza kusoma simu yangu iliita niliitizama nikagundua ni namba mpya kwenye simu yangu nikipokea na kuiweka sikioni hahahahahahahahahahahahahahahahaaaaaaaaa ni sauti nzito na nene iliyocheka kwa dharau John usijaribu kufatilia jambo hili na ukijaribu utakufa wewe ni nani na unataka nini niliuliza kwa hasira kisha nikakata simu hazikupita sekunde simu ikaita tena kwa namba iliyonipigia awali nikaipoke simu na safari hii nilisikia sauti ya mke wanguVivian akilia na kusema tusaidie mume wangu tumetekwa kisha sauti za wanangu Stive na Janeth wakiniita baba tusaidie huku wakilia niliumia sana kabla sijasema lolote nikaisikia sauti ile ya awali ikicheka cheko lake la kebehi na dharau kisha akasema umeweza kusikia nadhani sasa fanya haraka njoo NEW HOTEL na hakikisha unakuja peke yako kisha simu ikakata nilipiga tena lakini cha kushangaza niliambiwa namba ya simu ninayoipigia haipo nihakikishe namba kisha nijaribu tena nilihisi kuchanganyikiwa nilichukua funguo za gari langu la Prado na kuelekea NEW HOTEL haikunichukua muda mrefu nilifika na kuingia ndani kisha nikaangalia watu pale ndani na kuona meza ambayo haikuwa na mtu nikachukua wazo la kwenda kukaa pale lakini kabla sijapiga hatua simu yangu ikaita kwa namba ngeni nilipo pokea nikaambiwa nigeuke nyuma na nifatishe maelekezo ni wapi napaswa kwenda sikuwa na jinsi ilinibidi kufanya hivyo na kweli niliweza kumuona mtu aliyenipigia simu alikuwa kijana smart mwenye asili ya kiarabu uso wake mwembamba alivaa suti nyeusi kwa muonekano alionekana kama mtu mwenye hadhi kubwa japo alionekana mdogo nilifika alipokuwa na bila kusema chochote nikaketi,alianzisha mazungumzo bila shaka umekuja kwa ajili ya familia yako sio aliniuliza wakati alijua ndo kitu kilicho nileta nilitamani kimpiga lakini nilihofia kuikosa familia yangu pia sikujua wamejipangaje hivyo nilijibu kwa utaratibu ndio nimekuja kwa ajili ya familia yangu OK subiri hapo rafiki kijana huyu aliyeniita aliondoka na kuniacha mwenyewe lakini wakati ameondoka haikupita dakika wakaingia askari na kutuamuru watu wote kutulia kwani kuna mtu wanamtafuta kwa jina la John sikujua kama ni mimi au la kwani hawa jamaa sikuwa na kumbukumbu kama nilisha ingia nao kwenye migogoro lakini kabla sijafanya lolote nikastushwa na sauti ya askari akiniambia kuwa nipo chini ya ulinzi na kuniamuru kutofanya lolote la sivyo nitakufa..

Thursday, November 21, 2019ITAENDELEA 2019©


Bwana John kuanzia hivi sasa upo chini ya ulinzi na utakalo zungumza litachukuliwa kama ushahidi niliwacheki askari hawa kwa hasira kwani sikuwa na la kufanya kwa wakati huo japo nilikuwa na cheo kikubwa kuwazidi lakini sikutaka kuonyesha ubabe, nilipelekwa moja kwas moja kituoni na baada ya kufikishwa nilipewa amri ya kutoa kila kitu nilichokuwa nacho nilitoa simu yangu pamoja na vitambulisho na wallet iliyokuwa na laki tano pamoja ana card za benki. Ile namaliza kukabidhi aliingia mkuu wa kituo na kunipigia saluti na kuoneshwa kushangaa kwanini nipo hapo na wale vijana walionikamata walioneshwa kushangaa sana kwani walinikamata hawakujua mimi ni nani kisha mkuu wa kituo aliomba msamaha kwa kilichotokea sawa wambie vijana waqko wawe makini sawa mkuu nitafanya hivo ok wambie wanipatie vitu vyangu walivyo vichukua vitu vyote vilirudishwa na nikavikagua na kugundua kila kitu kipo sawa na nikamuita mkmuu wa kituom aliye fahamika kwa jina la Majaliwa na kumueleza tukio la mke wangu na wanangu kutekwa aseee pole sana mkuu kwahiyo unahisi ni nani atakuwa nyuma ya hili na je utakuwa na uadui na mtu kweli niliwaza lakini sikupata jibu kwani kwenye kazi yangu ya kulitumikia jeshi sina uadui lakini waweza kufanya jambo kumbe ukawa ndo mwanzo wa wewe kuchukiwa. Naomba gari lako na bastola yako private mkuu wa kituopm alinipatia nikakagua na kukuta kila kitu kipo sawa na akanipatia gari lake binafsi sio la kazi niliwasha kisha nikamuita na kumwambia sihitaji hili lisambae na sitahitaji msaada wa polisi unanielewa nilizungumza nikiwa nimemkazia macho alitingishwa kichwa kuashiria amenielewa kile nilicho kizungumza. Taratibu nilitoa gari na nilianza kuongeza spidi ya gari na kurudi NEW HOTEL na nilipofika pale nilienda moja kwa moja control room kwani ile ni hotel kubwa walikuwa na CCTV camera samahani kaka hurusiwi kuingia huku dada mmoja aliyeonekana mhudumu wa ile hotel alinambia lakini sikumjibu Zaidi ya kwenda ndani baada ya kufika niliwakuta vijana wawili waliokuwa wakioperate mambo kwenye control room walivyoniona walionekana kunishangaa name niliwasalimia kisha nikatoa kitambulisho changu na kuwaonesha kisha nikawambia nataka nione matukio ya leo yote na kweli walifanya hivyo na baada ya kuweka nilimuona yule kijana wa kiarabu alivyoingia alikuwa na jamaaa mmoja hivi ambaye sikubahatika kumuona awali niliwambia wastop na waikuze picha vipi hiyo video naweza kuipata yote walitazamana kisha wakasema hawawezi kufanya hivyo bila askari kuja na kibali na nikikumbuka sitaki askari waingilie hili swala nilitoa wallet yangu na kuwapatia vijana kiasi vha sh laki nne lakini walikataaa nikachukua cheki na kuandika kiasi cha mil moja wakitazamana kisha wakaniambia tutakusaidia lakini kila mmoja na cheki yake wakimaanisha niandike nyingine ya mil moja na kweli niliandika kwa sababu nina shida baada ya kutumiwa hiyo video kwenye simu yangu niliituma kwa Robert na kumpa maelekezo kuwa awafatilie hao watu na aniambie wako wapi kwa sasa na baada ya kufanya hivo aliniambia wanaelekea uwanja wa ndege kwa sasa nilitoa gari spidi nilipokuwa na safari ya kuelekea uwanja wa ndege ilianza lakini ile nafika abiria wote walishapanda na hakuna aliyeruhusiwa kusogea maeneo ya ndege tena niliishuhudia ndege ikiondoka roho iliniuma sana sikujua ni wapi nitampata mke wangu na wanangu lakini gafla nilikurupuka kutoka usingizini baada ya mama kuniita amka john ule ni saa ngapi mama nilimuuliza sasa hivi saa tatu usiku amka ule nilijitazama na kuona maajabu kwani sikujua ni ndoto gani hii kwani sijaoa na sina watoto pia sina cheo cha aina yoyote jeshini bali kila siku nazunguka na bahasha kutafuta kazi na mimi nilisoma shahada ya uwalimu na miaka miwili imepita kwa sasa niliamka na kuelekea mezani nilikula huku nikiwaza na baada ya kula niliitwa na mama na kuniambia mwanangu sikuwahi kukuambia hizi habari lakini leo nitakuambia nbaba yako ni nani na kweli siku zote mama hakutaka nimuulize kuhusu baba yangu ni nani na yuko wapi na nilivyo muuliza alikasirika sana

FINAL

Huruhusiwi kunakili Wala kufoward hadithi hii bila idhini. FINAL SEHEMU YA KWANZA [01] 0757207494 MWANDISHI:AUXIBIUS JOVENARY

Ni majira ya saa saba mchana tulipo wasili uwanja wa ndege wa JK Nyerere tukitokea Nigeria mimi pamoja na rafiki yangu au mfanyakazi mwenzangu niliye mzidi kiumri japo sio sana na hata kazini nilikuwa boss wake japo wote tuliajiriwa.Gari nyeusi aina ya range rover ilikuja na kutuchukua kwani lilikuwa ni agizo toka kwa boss wetu kuwa tunge pokelewa na kweli tulipokelewa kwani Nigeria tulienda kikazi.Tulisalimiana na dereva kisha tukapanda ndani ya gari tiyari kwa kuelekea ofisini ambapo tulipaswa kuonana na boss kwa ajili ya kumkabidhi nyaraka za ofisi. Dereva aliyejulikaana Kwa jina Paschal aliwasha gari ssafari ikaanza huku mimi na Robert tukikaa siti za nyuma tukipiga story mbili tatu. Kaka John Kaka John dereva aliniita mfululizo name nikaitika ndio nambie; nahisi tunafatiliwa nini? Niliuliza kana kwamba sijasikia alichokiongea Paschal lakini alirudia kuniambia kuwa tunafatiliwa na kweli nilivogeuka nyuma kutizama niliona gari aina ya V8 ikija kwa kasi upande wetu kutokana dereva alionekana kuwa muoga nilimuomba niendeshe garri mwenyewe na kweli hakuwa mbishi nikashika uskani mwenyewe nikachochea moto mpaka mshale wa speed ukaanza kusoma 200 kwa wakati ule hakuna aliyemsemesha mwenzake kwani hali ilishakuwa mbaya niliendelea kukimbiza gari sikujali kuhusu zebra wala taa za barabarani kwani nnilishaona hatari mbele yangu nilifika sehemu nikakata kona kushoto nikakunja kulia kisha nikapaki gari kama tulikuwepo muda mrefu na waliokuwa wakitufatilia nao wakapitiliza nasi tukawa tumepata upenyo na hatukuendelea mbele hivyo nikaamua kurudi tullipo toka na wazo la kwenda nyumbani kwangu lilinijia nikawambia tunalekea sinza nyumbani kwangu make sasa hivi hali siyo nzuri na kweli walikubali kwani hali waliiona na hivyo safari ya kuelekea sinza ilianza hatukutumia muda mrefu tulifika kwangu nikawwakaribisha ndani lakini niliingiwa na hofu baada ya kutoiona familia yangu lakini sikuwa na mashaka sana nilijua watakuwa wametoka tu make nilikuja bila taarifa yoyote. Nilimuuliza Paschal anatumia kinywaji gani alisema maji tu ya baridi yanatosha kisha nikamuuliza Robert hata yeye alitaka maji tu niliwaletea kisha nikawaomba tuelekee chumba cha kompyuta ili tuangalie ni nani aliyetufatilia kwani tuliweza kukariri namba za gari lililotufatilia kutokana nilikuwa mjuzi sana wa maswala ya kompyuta haikuwa ngumu kwani nilikuwa na kompyuta kumi zenye uwezo wa hali ya juu na kweli niliziandika zile no za gari na maelezo yakaletwa lakini kabla sijaanza kusoma simu yangu iliita niliitizama nikagundua ni namba mpya kwenye simu yangu nikipokea na kuiweka sikioni hahahahahahahahahahahahahahahahaaaaaaaaa ni sauti nzito na nene iliyocheka kwa dharau John usijaribu kufatilia jambo hili na ukijaribu utakufa wewe ni nani na unataka nini niliuliza kwa hasira kisha nikakata simu hazikupita sekunde simu ikaita tena kwa namba iliyonipigia awali nikaipoke simu na safari hii nilisikia sauti ya mke wanguVivian akilia na kusema tusaidie mume wangu tumetekwa kisha sauti za wanangu Stive na Janeth wakiniita baba tusaidie huku wakilia niliumia sana kabla sijasema lolote nikaisikia sauti ile ya awali ikicheka cheko lake la kebehi na dharau kisha akasema umeweza kusikia nadhani sasa fanya haraka njoo NEW HOTEL na hakikisha unakuja peke yako kisha simu ikakata nilipiga tena lakini cha kushangaza niliambiwa namba ya simu ninayoipigia haipo nihakikishe namba kisha nijaribu tena nilihisi kuchanganyikiwa nilichukua funguo za gari langu la Prado na kuelekea NEW HOTEL haikunichukua muda mrefu nilifika na kuingia ndani kisha nikaangalia watu pale ndani na kuona meza ambayo haikuwa na mtu nikachukua wazo la kwenda kukaa pale lakini kabla sijapiga hatua simu yangu ikaita kwa namba ngeni nilipo pokea nikaambiwa nigeuke nyuma na nifatishe maelekezo ni wapi napaswa kwenda sikuwa na jinsi ilinibidi kufanya hivyo na kweli niliweza kumuona mtu aliyenipigia simu alikuwa kijana smart mwenye asili ya kiarabu uso wake mwembamba alivaa suti nyeusi kwa muonekano alionekana kama mtu mwenye hadhi kubwa japo alionekana mdogo nilifika alipokuwa na bila kusema chochote nikaketi,alianzisha mazungumzo bila shaka umekuja kwa ajili ya familia yako sio aliniuliza wakati alijua ndo kitu kilicho nileta nilitamani kimpiga lakini nilihofia kuikosa familia yangu pia sikujua wamejipangaje hivyo nilijibu kwa utaratibu ndio nimekuja kwa ajili ya familia yangu OK subiri hapo rafiki kijana huyu aliyeniita aliondoka na kuniacha mwenyewe lakini wakati ameondoka haikupita dakika wakaingia askari na kutuamuru watu wote kutulia kwani kuna mtu wanamtafuta kwa jina la John sikujua kama ni mimi au la kwani hawa jamaa sikuwa na kumbukumbu kama nilisha ingia nao kwenye migogoro lakini kabla sijafanya lolote nikastushwa na sauti ya askari akiniambia kuwa nipo chini ya ulinzi na kuniamuru kutofanya lolote la sivyo nitakufa..

Thursday, November 21, 2019ITAENDELEA 2019©


Bwana John kuanzia hivi sasa upo chini ya ulinzi na utakalo zungumza litachukuliwa kama ushahidi niliwacheki askari hawa kwa hasira kwani sikuwa na la kufanya kwa wakati huo japo nilikuwa na cheo kikubwa kuwazidi lakini sikutaka kuonyesha ubabe, nilipelekwa moja kwas moja kituoni na baada ya kufikishwa nilipewa amri ya kutoa kila kitu nilichokuwa nacho nilitoa simu yangu pamoja na vitambulisho na wallet iliyokuwa na laki tano pamoja ana card za benki. Ile namaliza kukabidhi aliingia mkuu wa kituo na kunipigia saluti na kuoneshwa kushangaa kwanini nipo hapo na wale vijana walionikamata walioneshwa kushangaa sana kwani walinikamata hawakujua mimi ni nani kisha mkuu wa kituo aliomba msamaha kwa kilichotokea sawa wambie vijana waqko wawe makini sawa mkuu nitafanya hivo ok wambie wanipatie vitu vyangu walivyo vichukua vitu vyote vilirudishwa na nikavikagua na kugundua kila kitu kipo sawa na nikamuita mkmuu wa kituom aliye fahamika kwa jina la Majaliwa na kumueleza tukio la mke wangu na wanangu kutekwa aseee pole sana mkuu kwahiyo unahisi ni nani atakuwa nyuma ya hili na je utakuwa na uadui na mtu kweli niliwaza lakini sikupata jibu kwani kwenye kazi yangu ya kulitumikia jeshi sina uadui lakini waweza kufanya jambo kumbe ukawa ndo mwanzo wa wewe kuchukiwa. Naomba gari lako na bastola yako private mkuu wa kituopm alinipatia nikakagua na kukuta kila kitu kipo sawa na akanipatia gari lake binafsi sio la kazi niliwasha kisha nikamuita na kumwambia sihitaji hili lisambae na sitahitaji msaada wa polisi unanielewa nilizungumza nikiwa nimemkazia macho alitingishwa kichwa kuashiria amenielewa kile nilicho kizungumza. Taratibu nilitoa gari na nilianza kuongeza spidi ya gari na kurudi NEW HOTEL na nilipofika pale nilienda moja kwa moja control room kwani ile ni hotel kubwa walikuwa na CCTV camera samahani kaka hurusiwi kuingia huku dada mmoja aliyeonekana mhudumu wa ile hotel alinambia lakini sikumjibu Zaidi ya kwenda ndani baada ya kufika niliwakuta vijana wawili waliokuwa wakioperate mambo kwenye control room walivyoniona walionekana kunishangaa name niliwasalimia kisha nikatoa kitambulisho changu na kuwaonesha kisha nikawambia nataka nione matukio ya leo yote na kweli walifanya hivyo na baada ya kuweka nilimuona yule kijana wa kiarabu alivyoingia alikuwa na jamaaa mmoja hivi ambaye sikubahatika kumuona awali niliwambia wastop na waikuze picha vipi hiyo video naweza kuipata yote walitazamana kisha wakasema hawawezi kufanya hivyo bila askari kuja na kibali na nikikumbuka sitaki askari waingilie hili swala nilitoa wallet yangu na kuwapatia vijana kiasi vha sh laki nne lakini walikataaa nikachukua cheki na kuandika kiasi cha mil moja wakitazamana kisha wakaniambia tutakusaidia lakini kila mmoja na cheki yake wakimaanisha niandike nyingine ya mil moja na kweli niliandika kwa sababu nina shida baada ya kutumiwa hiyo video kwenye simu yangu niliituma kwa Robert na kumpa maelekezo kuwa awafatilie hao watu na aniambie wako wapi kwa sasa na baada ya kufanya hivo aliniambia wanaelekea uwanja wa ndege kwa sasa nilitoa gari spidi nilipokuwa na safari ya kuelekea uwanja wa ndege ilianza lakini ile nafika abiria wote walishapanda na hakuna aliyeruhusiwa kusogea maeneo ya ndege tena niliishuhudia ndege ikiondoka roho iliniuma sana sikujua ni wapi nitampata mke wangu na wanangu lakini gafla nilikurupuka kutoka usingizini baada ya mama kuniita amka john ule ni saa ngapi mama nilimuuliza sasa hivi saa tatu usiku amka ule nilijitazama na kuona maajabu kwani sikujua ni ndoto gani hii kwani sijaoa na sina watoto pia sina cheo cha aina yoyote jeshini bali kila siku nazunguka na bahasha kutafuta kazi na mimi nilisoma shahada ya uwalimu na miaka miwili imepita kwa sasa niliamka na kuelekea mezani nilikula huku nikiwaza na baada ya kula niliitwa na mama na kuniambia mwanangu sikuwahi kukuambia hizi habari lakini leo nitakuambia nbaba yako ni nani na kweli siku zote mama hakutaka nimuulize kuhusu baba yangu ni nani na yuko wapi na nilivyo muuliza alikasirika sana

Sunday, March 15, 2020

FINAL

Huruhusiwi kunakili Wala kufoward hadithi hii bila idhini. FINAL SEHEMU YA KWANZA [01] 0757207494 MWANDISHI:AUXIBIUS JOVENARY

Ni majira ya saa saba mchana tulipo wasili uwanja wa ndege wa JK Nyerere tukitokea Nigeria mimi pamoja na rafiki yangu au mfanyakazi mwenzangu niliye mzidi kiumri japo sio sana na hata kazini nilikuwa boss wake japo wote tuliajiriwa.Gari nyeusi aina ya range rover ilikuja na kutuchukua kwani lilikuwa ni agizo toka kwa boss wetu kuwa tunge pokelewa na kweli tulipokelewa kwani Nigeria tulienda kikazi.Tulisalimiana na dereva kisha tukapanda ndani ya gari tiyari kwa kuelekea ofisini ambapo tulipaswa kuonana na boss kwa ajili ya kumkabidhi nyaraka za ofisi. Dereva aliyejulikaana Kwa jina Paschal aliwasha gari ssafari ikaanza huku mimi na Robert tukikaa siti za nyuma tukipiga story mbili tatu. Kaka John Kaka John dereva aliniita mfululizo name nikaitika ndio nambie; nahisi tunafatiliwa nini? Niliuliza kana kwamba sijasikia alichokiongea Paschal lakini alirudia kuniambia kuwa tunafatiliwa na kweli nilivogeuka nyuma kutizama niliona gari aina ya V8 ikija kwa kasi upande wetu kutokana dereva alionekana kuwa muoga nilimuomba niendeshe garri mwenyewe na kweli hakuwa mbishi nikashika uskani mwenyewe nikachochea moto mpaka mshale wa speed ukaanza kusoma 200 kwa wakati ule hakuna aliyemsemesha mwenzake kwani hali ilishakuwa mbaya niliendelea kukimbiza gari sikujali kuhusu zebra wala taa za barabarani kwani nnilishaona hatari mbele yangu nilifika sehemu nikakata kona kushoto nikakunja kulia kisha nikapaki gari kama tulikuwepo muda mrefu na waliokuwa wakitufatilia nao wakapitiliza nasi tukawa tumepata upenyo na hatukuendelea mbele hivyo nikaamua kurudi tullipo toka na wazo la kwenda nyumbani kwangu lilinijia nikawambia tunalekea sinza nyumbani kwangu make sasa hivi hali siyo nzuri na kweli walikubali kwani hali waliiona na hivyo safari ya kuelekea sinza ilianza hatukutumia muda mrefu tulifika kwangu nikawwakaribisha ndani lakini niliingiwa na hofu baada ya kutoiona familia yangu lakini sikuwa na mashaka sana nilijua watakuwa wametoka tu make nilikuja bila taarifa yoyote. Nilimuuliza Paschal anatumia kinywaji gani alisema maji tu ya baridi yanatosha kisha nikamuuliza Robert hata yeye alitaka maji tu niliwaletea kisha nikawaomba tuelekee chumba cha kompyuta ili tuangalie ni nani aliyetufatilia kwani tuliweza kukariri namba za gari lililotufatilia kutokana nilikuwa mjuzi sana wa maswala ya kompyuta haikuwa ngumu kwani nilikuwa na kompyuta kumi zenye uwezo wa hali ya juu na kweli niliziandika zile no za gari na maelezo yakaletwa lakini kabla sijaanza kusoma simu yangu iliita niliitizama nikagundua ni namba mpya kwenye simu yangu nikipokea na kuiweka sikioni hahahahahahahahahahahahahahahahaaaaaaaaa ni sauti nzito na nene iliyocheka kwa dharau John usijaribu kufatilia jambo hili na ukijaribu utakufa wewe ni nani na unataka nini niliuliza kwa hasira kisha nikakata simu hazikupita sekunde simu ikaita tena kwa namba iliyonipigia awali nikaipoke simu na safari hii nilisikia sauti ya mke wanguVivian akilia na kusema tusaidie mume wangu tumetekwa kisha sauti za wanangu Stive na Janeth wakiniita baba tusaidie huku wakilia niliumia sana kabla sijasema lolote nikaisikia sauti ile ya awali ikicheka cheko lake la kebehi na dharau kisha akasema umeweza kusikia nadhani sasa fanya haraka njoo NEW HOTEL na hakikisha unakuja peke yako kisha simu ikakata nilipiga tena lakini cha kushangaza niliambiwa namba ya simu ninayoipigia haipo nihakikishe namba kisha nijaribu tena nilihisi kuchanganyikiwa nilichukua funguo za gari langu la Prado na kuelekea NEW HOTEL haikunichukua muda mrefu nilifika na kuingia ndani kisha nikaangalia watu pale ndani na kuona meza ambayo haikuwa na mtu nikachukua wazo la kwenda kukaa pale lakini kabla sijapiga hatua simu yangu ikaita kwa namba ngeni nilipo pokea nikaambiwa nigeuke nyuma na nifatishe maelekezo ni wapi napaswa kwenda sikuwa na jinsi ilinibidi kufanya hivyo na kweli niliweza kumuona mtu aliyenipigia simu alikuwa kijana smart mwenye asili ya kiarabu uso wake mwembamba alivaa suti nyeusi kwa muonekano alionekana kama mtu mwenye hadhi kubwa japo alionekana mdogo nilifika alipokuwa na bila kusema chochote nikaketi,alianzisha mazungumzo bila shaka umekuja kwa ajili ya familia yako sio aliniuliza wakati alijua ndo kitu kilicho nileta nilitamani kimpiga lakini nilihofia kuikosa familia yangu pia sikujua wamejipangaje hivyo nilijibu kwa utaratibu ndio nimekuja kwa ajili ya familia yangu OK subiri hapo rafiki kijana huyu aliyeniita aliondoka na kuniacha mwenyewe lakini wakati ameondoka haikupita dakika wakaingia askari na kutuamuru watu wote kutulia kwani kuna mtu wanamtafuta kwa jina la John sikujua kama ni mimi au la kwani hawa jamaa sikuwa na kumbukumbu kama nilisha ingia nao kwenye migogoro lakini kabla sijafanya lolote nikastushwa na sauti ya askari akiniambia kuwa nipo chini ya ulinzi na kuniamuru kutofanya lolote la sivyo nitakufa..

Thursday, November 21, 2019ITAENDELEA 2019©


Bwana John kuanzia hivi sasa upo chini ya ulinzi na utakalo zungumza litachukuliwa kama ushahidi niliwacheki askari hawa kwa hasira kwani sikuwa na la kufanya kwa wakati huo japo nilikuwa na cheo kikubwa kuwazidi lakini sikutaka kuonyesha ubabe, nilipelekwa moja kwas moja kituoni na baada ya kufikishwa nilipewa amri ya kutoa kila kitu nilichokuwa nacho nilitoa simu yangu pamoja na vitambulisho na wallet iliyokuwa na laki tano pamoja ana card za benki. Ile namaliza kukabidhi aliingia mkuu wa kituo na kunipigia saluti na kuoneshwa kushangaa kwanini nipo hapo na wale vijana walionikamata walioneshwa kushangaa sana kwani walinikamata hawakujua mimi ni nani kisha mkuu wa kituo aliomba msamaha kwa kilichotokea sawa wambie vijana waqko wawe makini sawa mkuu nitafanya hivo ok wambie wanipatie vitu vyangu walivyo vichukua vitu vyote vilirudishwa na nikavikagua na kugundua kila kitu kipo sawa na nikamuita mkmuu wa kituom aliye fahamika kwa jina la Majaliwa na kumueleza tukio la mke wangu na wanangu kutekwa aseee pole sana mkuu kwahiyo unahisi ni nani atakuwa nyuma ya hili na je utakuwa na uadui na mtu kweli niliwaza lakini sikupata jibu kwani kwenye kazi yangu ya kulitumikia jeshi sina uadui lakini waweza kufanya jambo kumbe ukawa ndo mwanzo wa wewe kuchukiwa. Naomba gari lako na bastola yako private mkuu wa kituopm alinipatia nikakagua na kukuta kila kitu kipo sawa na akanipatia gari lake binafsi sio la kazi niliwasha kisha nikamuita na kumwambia sihitaji hili lisambae na sitahitaji msaada wa polisi unanielewa nilizungumza nikiwa nimemkazia macho alitingishwa kichwa kuashiria amenielewa kile nilicho kizungumza. Taratibu nilitoa gari na nilianza kuongeza spidi ya gari na kurudi NEW HOTEL na nilipofika pale nilienda moja kwa moja control room kwani ile ni hotel kubwa walikuwa na CCTV camera samahani kaka hurusiwi kuingia huku dada mmoja aliyeonekana mhudumu wa ile hotel alinambia lakini sikumjibu Zaidi ya kwenda ndani baada ya kufika niliwakuta vijana wawili waliokuwa wakioperate mambo kwenye control room walivyoniona walionekana kunishangaa name niliwasalimia kisha nikatoa kitambulisho changu na kuwaonesha kisha nikawambia nataka nione matukio ya leo yote na kweli walifanya hivyo na baada ya kuweka nilimuona yule kijana wa kiarabu alivyoingia alikuwa na jamaaa mmoja hivi ambaye sikubahatika kumuona awali niliwambia wastop na waikuze picha vipi hiyo video naweza kuipata yote walitazamana kisha wakasema hawawezi kufanya hivyo bila askari kuja na kibali na nikikumbuka sitaki askari waingilie hili swala nilitoa wallet yangu na kuwapatia vijana kiasi vha sh laki nne lakini walikataaa nikachukua cheki na kuandika kiasi cha mil moja wakitazamana kisha wakaniambia tutakusaidia lakini kila mmoja na cheki yake wakimaanisha niandike nyingine ya mil moja na kweli niliandika kwa sababu nina shida baada ya kutumiwa hiyo video kwenye simu yangu niliituma kwa Robert na kumpa maelekezo kuwa awafatilie hao watu na aniambie wako wapi kwa sasa na baada ya kufanya hivo aliniambia wanaelekea uwanja wa ndege kwa sasa nilitoa gari spidi nilipokuwa na safari ya kuelekea uwanja wa ndege ilianza lakini ile nafika abiria wote walishapanda na hakuna aliyeruhusiwa kusogea maeneo ya ndege tena niliishuhudia ndege ikiondoka roho iliniuma sana sikujua ni wapi nitampata mke wangu na wanangu lakini gafla nilikurupuka kutoka usingizini baada ya mama kuniita amka john ule ni saa ngapi mama nilimuuliza sasa hivi saa tatu usiku amka ule nilijitazama na kuona maajabu kwani sikujua ni ndoto gani hii kwani sijaoa na sina watoto pia sina cheo cha aina yoyote jeshini bali kila siku nazunguka na bahasha kutafuta kazi na mimi nilisoma shahada ya uwalimu na miaka miwili imepita kwa sasa niliamka na kuelekea mezani nilikula huku nikiwaza na baada ya kula niliitwa na mama na kuniambia mwanangu sikuwahi kukuambia hizi habari lakini leo nitakuambia nbaba yako ni nani na kweli siku zote mama hakutaka nimuulize kuhusu baba yangu ni nani na yuko wapi na nilivyo muuliza alikasirika sana